
Diamond Platnumz with producer S2kizzy
It’s been a huge year for Diamond Platnumz as he has been making waves from huge hits he has released this year. Two days ago, he released his latest song, Baba Lao two days ago which has been produced by S2Kizzy.
However, they are being accused of copying the song from Naira Marley’s Song, Soapy. Responding to the allegations of thievery and copying, the producer said that they started creating the track a long time ago when he and Diamond were in Madagascar and had asked for permission from the original composer, Marley.
” Kitu ambacho watu hawajui kuhusu ngoma ya ‘Baba lao’ ni kwamba tulianza kurekodi kitambo sana, Wakati tukiwa Madagascar mimi Diamond. Tulienda na studio ndogo siunajua sisi ni watu wa muziki tukawa tunagonga mawe tu. Tulikuwa tumekaa tunagonga ngoma fulani slow hivi.” amesema S2Kizzy na kueleza walivyovutiwa na ngoma ya Soapy.
“Pale tulipokuwa tumekaa palikuwa na TV inaonesha chaneli fulani hivi, mara ikapita ngoma fulani ya Naira Marley ‘Soapy’ tukasema mbona kama ngoma ina vibe fulani hivi..Na siku tunaweza kufanya ngoma kama hii. Basi tukaona ngoja tufanye ngoma kama hii halafu tutawasiliana nao wenyewe. Kwa hiyo tukawa inspired na wimbo wa Naira Marley unaitwa ‘Soapy’, Kwa tukaona tunaweza tukaweka maneno yetu, Vibe letu na vitu vyetu lakini kwenye type ya muziki kama huo.” he said during an interview with Wasafi Fm .
The producer added that Diamond is an international artist who can’t hop on someone’s song without giving proper credit.
Listen to Diamond’s Baba Lao and Nara Marley’sSoapy below.
