
Wasafi Classic manager Sallam SK has opened up that Harmonize has tabled a request to leave the label. In an interview with Wasafi FM, the manager says that the he recieved a contract termination letter from the Konde Gang CEO in a good heart and a meeting is underway to actualize the request.
“Harmonize kwa sasa hivi ndani ya Moyo wake Hayupo WCB, Lakini Kimkataba Bado Yupo WCB. Harmonize ameshatuma barua ya maombi yaku terminate mkataba wake na yuko willing kupitia vipengele vyote vya sheria kuweza kuterminate Mkataba wake, Hicho ni kitu ambacho tumependezewa nacho, ambacho yeye mwenye ameridhia na ameandika barua kuomba kikao na uongozi. Ni Mtu ambaye amesimama na anafuuata sharia na ameona labda imefikia wakati ameamua yeye kujiendeleza na kumove na labda kuna vitu alikuwa anaona vinamubana na anaona kifanya pekee yake atafika mbele Zaidi,” stated the label manager.
He added that a press conference will follow up to announce the exit of the singer, bless him and wish him the best in his new adventure.
